Salma Kikwete: Ni nani?

GO MAMA SALMA GO......! Usikatishwe tamaa na watu waangaliao karibu.....fanya uonalo vyema.....WAKUBWA TUACHANE KUCHONGA TUMPE HESHIMA YAKE...!
 

Hiyo red, Kwa hiyo relation ya wateuliwa wa raisi wa Jamhuri kwa first lady ni sawa na relation ya shamba boy wako kwa mkeo?

Hiyo blue nakubaliana na wewe kabisa mkuu, post za RC na DC ni kuongeza garama za uendeshaji. Wakurugenzi na makatibu wa mikoa wanatosha.
 
Huu ni aina ya ufisadi pia. Kutumia rasilimali za walalahoi wa Tz kufanya promosheni ya urais wa JK. Huyu mama hana title ya kumruhusu kupewa taarifa na ma RC. Halafu kinachokera RC mwenyewe unakuta kavaa shati la kijani wakati yeye ni kiongozi wa serikali.
 
Walikuwamo wafanyabiashara humo ndani ha ha ha ha kila enzi na tamaduni zek tehetehetehe ni sawa na mama Obama kwenda kufundisha shule , kualikwa katika mazoezi na kufanya kicheni pati za kimarekani kwani si tamaduni tu mnasahau kwamba taasisi yake inamwaga mafedha katika miradi mbalimbali ya wamama na watoto tehe tehe tehe watu bwana wanacha kuulizia chumvi wanaweka taa kwenye mvungu ha ha ha ha
 
GO MAMA SALMA GO......! Usikatishwe tamaa na watu waangaliao karibu.....fanya uonalo vyema.....WAKUBWA TUACHANE KUCHONGA TUMPE HESHIMA YAKE...!
Hii imekaa safi na salama kama salma mwenyewe go big girl go!!!!! hata mke wa chifu uluguruni alikuwa na heshima kubwa na alilindwa kama anavyolindwa chifu anayesema wanawake zenu si wabadala wenu waanze kuzungumza hadharani ha ha ha ha ha ha ha ha nyi nyie jadilini maendeleo na namna ya kuwezesha nchi hii kujamp si kutembea kigoigoi machifu wakifika mahali watu huneemeka kwani hawajui mkono mtupu na hata nyie mlipitishia maombi yenu kwa mama zenu wacheni kudharau ukweli tehe tehe tehe
 
yeye na JK mwili mmoja nadhani umenipata!bado kupigiwa mizinga na kukagua gwaride, escort yake zaid ya spika na jaji mkuu
 
Huwa hawachinji watu baki....ni wao kwa wao

Mura !!! Unareta utani kwenye kasi yetu, arrryyyaaaaaaaa nengotema mura tamaha mona akwing'eina umuchabani ono (maana yake: ohooooo, nitakupiga aisee, angalia huyu jamaa anavyojidanganya) Wewe jidanganye tu kuwa ni wao kwa wao, naona siku zako zinahesabika. Akishasema arrryyyyaaaaaa basi kaa mbali naye maana chochote kilicho karibu naye atakitumia kama silaha na itakula kwako. Ogopa kukorofishana na MURA, utakufa siku si zako.

Mura, chihasari kabisa gwa sababhu umegwisa niretea maneno ya gitoto, singo yako nitaigata na soka sasa hibhi.
 
Jamani kwani amewaomba wamsomee hizo risala au ameomba apewe taarifa?? ni sisi wa TZ kujipendekeza - yaani viongozi wa kitanzania kwa ajili ya kulinda maslahi yao wanatetemeka tetemeka hadi wanafanya na kusema mambo wasiyopaswa. Hata ingekuwa mimi Salma, ningewasikiliza tu na mradi nitimize malengo yangu.
Viongozi wengi hawajiamini - wakisikia tu "mke wa Rais" basi - wanaona kama ndio wamemwona Rais mwenyewe - kumbe ni mkewe tu!!!!!
SALMA HANA MAKOSA - WENYE MAKOSA NI HAO WANAOJIPENDEKEZA - AU WAMEPEWA AGIZO WAFANYE HIVYO???? HATUJUI ...... ngoja wengine tuendelee kumngojea Yesu arudi.....
 

angeanzia nyumbani..charity begins a home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…