OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Hivi mama salma kikwete , mke wa Rais Jakaya Kikwete ,Rihwan Kikwete Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete ni sehemu ya uongozi wa taifa letu? kama jibu ni ndiyo ni ibara gani ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inayofafanua nafasi zao na wajibu wao kwa watanzania kwa kuwa Mke na mtoto wa Rais.
Kama jibu ni hapana ,ubavu wa mwana na mama kuzunguka na kutamba mikoani katika mikutano ya hadhara na hafla mbalimbali anazozifanya akikipiga kampeni za wazi wazi za kumfagilia mumewe na chama chake cha Cha majambazi (CCM) Kwa kutumia rasilimali za umma anautoa wapi.?
Nauliza maswali haya kwa sababu mwenye macho anaona na mwenye masikio anasikia kwa mama salma na Ridhwan Kikwete katika kampeni zao na hafla mbalimbali wanazoandaliwa zinagharamiwa fedha za walipa kodi wa Nchi hii.
Ingawa uongozi wa serikali na chama tawala umeweka pamba masikionni ,ukweli wa mambo ni kwama salma na Ridhwan wamekuwa gumzo kwa mambo wanayoyafanya hasa wanapokuwa mikoani kwa kutmia nyenzo za serikali na kupata heshima zote anazopewa Rais kana kwamba wao ni sehemu ya taasisi ya Urais.
Wanafanya vyombo na taasisi za serikali mikoani na wilayani kuwa na wakati mgumu kiasi cha cha kulazimika kumsomea ripoti za maendeleo ya mkoa ,polisi kuhangaika huku na kule kuhakikisha usalama wa mama salma na Rihwan na katika kufanya hivyo ,wananchi wa eneo husila kukwamishwa kwa muda shughuli zao kwa vile Rais asiyetambuliwa na katiba, anapitishwa.
Siyo siri kwamba hadhi ya Urais anayopatiwa mama salma na Ridhwan haikuonekana kwa Mama maria Nyerere na Makongoro Nyerere.Ridhwan na Mama Salma wana nini cha ziada na kama anacho kwa nini haianishwi kwenye katiba ili watanzania tumjue tusimshangae na anachokifanya ?
Kama jibu ni hapana ,ubavu wa mwana na mama kuzunguka na kutamba mikoani katika mikutano ya hadhara na hafla mbalimbali anazozifanya akikipiga kampeni za wazi wazi za kumfagilia mumewe na chama chake cha Cha majambazi (CCM) Kwa kutumia rasilimali za umma anautoa wapi.?
Nauliza maswali haya kwa sababu mwenye macho anaona na mwenye masikio anasikia kwa mama salma na Ridhwan Kikwete katika kampeni zao na hafla mbalimbali wanazoandaliwa zinagharamiwa fedha za walipa kodi wa Nchi hii.
Ingawa uongozi wa serikali na chama tawala umeweka pamba masikionni ,ukweli wa mambo ni kwama salma na Ridhwan wamekuwa gumzo kwa mambo wanayoyafanya hasa wanapokuwa mikoani kwa kutmia nyenzo za serikali na kupata heshima zote anazopewa Rais kana kwamba wao ni sehemu ya taasisi ya Urais.
Wanafanya vyombo na taasisi za serikali mikoani na wilayani kuwa na wakati mgumu kiasi cha cha kulazimika kumsomea ripoti za maendeleo ya mkoa ,polisi kuhangaika huku na kule kuhakikisha usalama wa mama salma na Rihwan na katika kufanya hivyo ,wananchi wa eneo husila kukwamishwa kwa muda shughuli zao kwa vile Rais asiyetambuliwa na katiba, anapitishwa.
Siyo siri kwamba hadhi ya Urais anayopatiwa mama salma na Ridhwan haikuonekana kwa Mama maria Nyerere na Makongoro Nyerere.Ridhwan na Mama Salma wana nini cha ziada na kama anacho kwa nini haianishwi kwenye katiba ili watanzania tumjue tusimshangae na anachokifanya ?