PRESIDA TO BE..
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 302
- 200
Weka picha acha biashara za kizamaniNdugu mwanaJamiiForum,
Kaka ww unaplan ya kufungua saloon nauza saloon complete..
1. Kiti cha kunyolea
2. Kiti cha kukalia watu watatu
3. Vioo full set
4. Mashine moja ya kunyolea
5. Mlango wa fremu
6. Other accessories za kunyolea.
Vitu vyote ni vipya unachukua na kuanza kazi.
Bei Jumla 1.5m
Karibu tuongee..na kuona picha ya vitu
Mawasiliano: 0714624784.
Napatikana Dsm.
Ukitaka picha njoo whatsap nduguWeka picha acha biashara za kizamani
Siyo kila mtu anatumia whatsup kijana, jf hata wenye viswasawadu wanatumia!Ukitaka picha njoo whatsap ndugu