Hilo lipo waziTunamshukuru Mchengerwa kwa kufuta Wagombea wa Chadema, CCM ingepata aibu ya milele
Aibu sana kwa chama ambacho kiongozi wake anaupiga mwingi kuweka mpira kwapaniCCM walinusa hatari ya kushindwa vibaya ndiyo maana wakamtuma Mchengerwa kuwaengua wagombea wa Chadema .
Kweli kabisaKama siyo ujinga wa Mchengerwa kuharibu uchaguzi wananchi walikuwa wanahamasa haswa
Tunamshukuru Mchengerwa kwa kufuta Wagombea wa Chadema, CCM ingepata aibu ya milele
Msengerwa kaweka mpira kwapanMnyika yupo wapi? hatumuoni kwenye matukio muhimu kama haya
Mnyika yupo wapi? hatumuoni kwenye matukio muhimu kama haya
Hovyo kabisa MchengerwaKweli kabisa