Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Naona kasogea Mkoa wa Mara kwa demu wake,ila CHADEMA wasanii sana nyieTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu ataongoza Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA Bunda Mjini.
Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kila mahali hii hapa
View attachment 3156970
#WATAKE WASITAKE
Masikini mnawaza ngono tu, na mtapukutika kama vumbiNaona kasogea Mkoa wa Mara kwa demu wake,ila CHADEMA wasanii sana nyie
😀😀😂Masikini mnawaza ngono tu, na mtapukutika kama vumbi
Hakuna kukata tamaaa.....Daima.Mbele Nyuma MwikoTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu ataongoza Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA Bunda Mjini.
Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kila mahali hii hapa
View attachment 3156970
#WATAKE WASITAKE
Naona kasogea Mkoa wa Mara kwa demu wake,ila CHADEMA wasanii sana nyie
Acha wivu Chadena kuna mafenu wakali tu. Sio wanywa visungula wa huko MboziNaona kasogea Mkoa wa Mara kwa demu wake,ila CHADEMA wasanii sana nyie
Wachovu tu nyie nyumbuTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu ataongoza Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA Bunda Mjini.
Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kila mahali hii hapa
View attachment 3156970
#WATAKE WASITAKE
HayaWachovu tu nyie nyumbu
Mchengerwa haamini macho yake, alitumwa ili kuhakikisha Chadema inajitoa lakini imeshindikanaHakuna kukata tamaaa.....Daima.Mbele Nyuma Mwiko
Mzee Mpili
Yeah that was their mission.....hawajui Chadema ina intelijensia kubwa.Mchengerwa haamini macho yake, alitumwa ili kuhakikisha Chadema inajitoa lakini imeshindikana
Wachovu wanaoogopwa kwenye sanduku la kuraWachovu tu nyie nyumbu
Wachovu ni wapi sasa, wanaobebwa kwa kujaza fomu au wapi?Wachovu tu nyie nyumbu
Usiseme chama chake sema chama chetu😁....Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kila mahali hii hapa
View attachment 3156970
#WATAKE WASITAKE
Labda niseme chama chao, mimi nikiandika hapa naandika kwa niaba ya jf, siandiki kwa niaba ya Chadema, haya ndio nyinyi chawa wa ccm msichokijua, Mimi ni mwandishi wa JF si mwandishi wa ChademaUsiseme chama chake sema chama chetu😁
Wewe unajulikana kabisa, sasa unakataa nini?😁Labda niseme chama chao, mimi nikiandika hapa naandika kwa niaba ya jf, siandiki kwa niaba ya Chadema, haya ndio nyinyi chawa wa ccm msichokijua, Mimi ni mwandishi wa JF si mwandishi wa Chadema