Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka nikusaidie ku-edit na mm keyboard yangu inagoma!!!!Admin Keyboard imeniharibia kichwa ...hapoNi Saluni!
Bila shaka wanaompambaga' Mfalme Zumaridi Wana nafasi Yao Peponi!
Kwa kweli baada ya wiki tatu za kukaa jela ,kumedhihirisha ubora was Wapambaji wake!
Sisi waumini wake Tunajivunia Kaziyenu🔥🔥🔥🔥
Bila picha ya huyo 'mfalme' kabla na baada ya make-up uzi unapwaya🙄Bila shaka wanaompambaga' Mfalme Zumaridi Wana nafasi Yao Peponi!
Kwa kweli baada ya wiki tatu za kukaa jela ,kumedhihirisha ubora was Wapambaji wake!
Sisi waumini wake Tunajivunia Kaziyenu🔥🔥🔥🔥
Sio kupwaya tu,itaonekana kama ni habari za kutunga...Bila picha ya huyo 'mfalme' kabla na baada ya make-up uzi unapwaya🙄
Nimeejaribu kuweka Ile ya Mungu halisi ,baada ya kutokwenda Saluni nineshindwa 🤭Sio kupwaya tu,itaonekana kama ni habari za kutunga...
Nihaki mwanamke kijipamba, na ndio maana ya sasa umeshindwa.Nimejaribu
Nimeejaribu kuweka Ile ya Mungu halisi ,baada ya kutokwenda Saluni nineshindwa [emoji2960]
Inaitwa ripuu au unaweza ita skimmingVijana wanasema anapigwa cement huko saloon
Aisee daaahMtoa mada naungana na weweView attachment 2159680
Ama kweli ukitaka kuoa ngoja aamke ndio uangalie sura yake. Hizi makeup zina ficha mengi!Mtoa mada naungana na weweView attachment 2159680
Huyo ni Mungu aishiye Duniani Mkuu,usmshushe cheo kiasi hicho!Jela siyo kuzuri..
Malaika Kawa shetani...
HahahaIla kafanana sana na Mr. Nice
Duuh..Huyo mama akitoka Butimba wamnipatie nimtombe