Ni matumaini yangu mko salama na wenye afya tele na wale ambao tupo kwenye mitihani ya maradhi basi mungu atufanyie wepesi. Ndugu yenu kaktika kujenga fikra nimejiunga nanyi, tuwe pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya wakaribishwa lakini uwe mpole, utusikilize wakongwe π π π π π π π π π πNi matumaini yangu mko salama na wenye afya tele na wale ambao tupo kwenye mitihani ya maradhi basi Mungu atufanyie wepesi.
Ndugu yenu kaktika kujenga fikra nimejiunga nanyi, tuwe pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mbona anaonekana mkongwe amebadili tu ID yake kwa sababu kala BANHaya wakaribishwa lakini uwe mpole, utusikilize wakongwe π π π π π π π π π π
Nawa kwanza mikono kabla hujakaribishwa humu jukwaani. Usisahau kuvaa na barakoa.Ni matumaini yangu mko salama na wenye afya tele na wale ambao tupo kwenye mitihani ya maradhi basi Mungu atufanyie wepesi.
Ndugu yenu kaktika kujenga fikra nimejiunga nanyi, tuwe pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app