Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Ndugu wana JF -- kuna tetesi kwamba Salva Rweyemamu,Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu huenda akahamishwa na kupewa kazi nyingine. Hivi sasa Salva kaenda likizo ya muda usiojulikana, na kwamba likizo hiyo inaambatana na "masomo" huko n'gambo.Fuatilieni tetesi hizi.
Inasemekana Salva aliukwaa wadhifa hapo Ikulu kutokana ushawishi mkubwa wa swahiba wake --Rostam na na EL, na inadaiwa jukumu lake kubwa lilikuwa ni kushughulikia kuzifunika kashfa za Richmond na Kagoda.
Baada ya kuukwaa wadhifa huo hapo Ikulu mara moja akahodhi kazi ya usemaji wa Rais na kupachikwa jina la "Alfred Mutua" wa Tanzania, kazi ambayo ilionekana baadaye alinyang'anywa baada ya kuwa msemaji wa kila wizara.
Inasemekana Salva aliukwaa wadhifa hapo Ikulu kutokana ushawishi mkubwa wa swahiba wake --Rostam na na EL, na inadaiwa jukumu lake kubwa lilikuwa ni kushughulikia kuzifunika kashfa za Richmond na Kagoda.
Baada ya kuukwaa wadhifa huo hapo Ikulu mara moja akahodhi kazi ya usemaji wa Rais na kupachikwa jina la "Alfred Mutua" wa Tanzania, kazi ambayo ilionekana baadaye alinyang'anywa baada ya kuwa msemaji wa kila wizara.