salve salve wabongo

mozambique

Senior Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
101
Reaction score
15
Mambo zenu natumai muwazima na mmeumaliza na kuuanza mwaka vizuri. Mimi niko bomba naomba mnipokee vizuri msinibague kwa kuwa mimi ni WA msumbiji.
Salve africa
 
Mambo zenu natumai muwazima na mmeumaliza na kuuanza mwaka vizuri. Mimi niko bomba naomba mnipokee vizuri msinibague kwa kuwa mimi ni WA msumbiji.
Salve africa

karibu mkuu,
afrika moja, mipaka waliweka watu weupe bila kutushirikisha.

Bon dia.
 
Mambo zenu natumai muwazima na mmeumaliza na kuuanza mwaka vizuri. Mimi niko bomba naomba mnipokee vizuri msinibague kwa kuwa mimi ni WA msumbiji.
Salve africa
Karibu sana jamvini.
 
Tudo bem mano? Seja bem vindo à nossa casa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…