Sam misango anaendesha friday night live kwa kukurupuka

Na wewe muombe akualike uwashike viuno hao mademu...... Kwani channel ni hiyo moja tuu
 
Nadhani muda na aina ya kipindi ndio kinahitaji mambo kama hayo kama hupendi kaa pembeni
 
Naona kimefika cha tatu na mimi nasema hatutavifumbia macho kwa kweli.Nchi ngumu hii.
 
Acha wivu dada.

Ngoja niongee nae na wewe uende ukashikwe shikwe kiuno.
 
Na sirini pia analalaga now probably, ukilijua hilo nadhani ndio utapasuka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…