mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Sum Msasali na mwenzake leo wameniacha hoi wakati wanajadili sakata la uhaba wa damu salama nchini, hivyo wakatoa wazo kuwa wataalam waanze kutumia damu za wanyama kuwaongezea binadamu, jamani hii imakaaje?
Mfano ukiwekewa damu ya mbwa au mbuzi inakuwaje. Dah!
Mfano ukiwekewa damu ya mbwa au mbuzi inakuwaje. Dah!