Sam Wa Ukweli yuko wapi?

Mtanzania Mkenya

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
238
Reaction score
387
Sam Wa Ukweli ni msanii ambaye alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kucheza na sauti yake na alikuwa na mashairi mazuri pia. Jamaa alitamba sana na vibao kama Sina Raha, Hata Kwetu Wapo. Kwa aliye na taarifa zozote kuhusu anachojishughulisha nacho sasa ivi, tujuzane humu tafadhali.
 
Yupo home (Kanda ya ziwa) ni mwl wa kwaya hivi sasa pia a napiga kinanda pia anamsaidia baba yake ambaye ndio mzee wa kanisa
 
Amerudia kazi yake ya kuuza korosho na karanga
 
kaoa...wamerudi mtumbani na mwenzke Top C lofa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…