Samadi ya kuku kwa kuoteshea miti

Samadi ya kuku kwa kuoteshea miti

My Joash

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
270
Reaction score
214
Wadau habari za usiku. Najua JamiiForums ni kisima cha maarifa, naomba ushauri kwa anayefahamu. Nina miti yangu ya matunda nataka kuotesha, nyumbani ninayo mbolea ya kuku (mavi ya kuku) nilitaka niitumie ila kuna watu wameniambia kuwa si nzuri kama ya mbuzi au ng'ombe, wanasema eti inainguza mimea,

Je, ni kweli au ni maneno tu, wengine wanadai hadi uichanganye na mchanga ndo uitumie. Je, niitumie tu au ni kweli si nzuri?

Nakaribisha mawazo yenu
 
Kwa miti nijuavyo ya ng'ombe na mbuzi ndio nzuri. Kwa kuwa inayeyuka taratibu tofauti na ya kuku. Ya kuku ni kwa ajili ya mimea ya muda mfupi kama mboga mboga.
 
Kwa miti nijuavyo ya ng'ombe na mbuzi ndio nzuri. Kwa kuwa inayeyuka taratibu tofauti na ya kuku. Ya kuku ni kwa ajili ya mimea ya muda mfupi kama mboga mboga.
Asante boss ,umenipanua mawazo
 
Back
Top Bottom