kuna kiongozi wa chama cha siasa ameng'atuka majuzi kwenye medani, miaka kadhaa imepita aliwahi kupatikana na malaria 500, akarejelea ili sehemu ya mwisho karibia na ku r.i.p, una far nchezo nnπHakuna malaria 10 duniani
Nunuwa fungu la malimao kamuwa upate glasi moja au mbili kunywa.Huwa naenda maabara za kawaida hizi za mitaani ambapo kupima malalia sio zaidi ya elf mbili
Asante sana. Nasumbuka mara nyingi na magonjwa matatu tu.maralia, typod na mkojo, nadhani ni tangu zamani sana nikiumwa ni viwili kati ya hayo kimoja au vyote.sijawahi kuungua magonjwa mengine kama kuumwa tumbo, kuharisha, kichwa kuuma, homa zile kali n.k ni hayo tu na kukosa hamu ya kula basiPole ndugu yangu. Siku nyingine ukienda maabala, muelezee mtaalam, alafu yeye ndo akushauri ni kipimo gani upime. Nimeshtuka kidogo uliposema eti "ndo ugonjwa unaokusumbua".
DR HAYA LANDMwezi mmoja nyuma nilipatwa na hali ya kuumwa kwa, kuchoka mwili na homa ile ya watu wazima mwili hauchemki ila kwa mbali unajisikia hovyo, nikaenda maabala, nikapima mkojo, tyiphoid na malaria mara nyingi ndo magonjwa yanayonisumbua sana haya nikakutwa na typhoid na mkojo mchafu malaria haipo nikanunua dawa azuma nikameza dozi ikaisha nikajisikia kupona.
Ila baada ya wiki moja hali ikarudi, kuchoka na kujisikia hovyo, kukosa hamu ya kula n.k ikabidi niende maabala nyingine kupima vyote nikakutwa na malaria 10 pekee daah.nikashangaa haya maajabu. Isiwe kesi nikanunua dawa zile za 2000 nikameza hadi dozi ikaisha nikawa kama nimepona pia nikaendelea na shughuli zangu.
Sasa juzi hapa hali imerudi kama kawaida muda huu ninavyoandika hamu ya kula sina na mdomo ni mchungu balaa.
Naomba ushauri wako nini nifanyeje, dawa gani au vipimo gani nipime hadi nikae sawa.
Naomba msaada raia mwenzenu nikifa taifa linapoteza nguvu kazi na ninategemewa na watu sio chini ya watano.
Adsnte sana nimechukua huu ushauri kwa mikono miwili.Nunuwa fungu la malimao kamuwa upate glasi moja au mbili kunywa.
Hizi ni tiba mbadala zinafanyakazi vizuri tu.
Unaweza kuchanganya na tangawizi na kitunguu Swaumu na Amdarasini ukablend pamoja kunywa hiyo juice ya combination hiyo hutosikia tena hizo mambo.
Asante sana huu ushauri nauchukua na naufanyia kazi leo leoNunuwa fungu la malimao kamuwa upate glasi moja au mbili kunywa.
Hizi ni tiba mbadala zinafanyakazi vizuri tu.
Unaweza kuchanganya na tangawizi na kitunguu Swaumu na Amdarasini ukablend pamoja kunywa hiyo juice ya combination hiyo hutosikia tena hizo mambo.
kula vizuri, lala vizuri, fanya mazoezi, pumzisha mwili wako,Matatu tu???
Kwanini yawe matatu tu
Kichwa hakiumi,mwili hauumi isipokuwa kuchoka ila havinizuii kufanya shughuli zangu.
Safiiii nimeipenda hii ππππMna fungu lenu mbinguni,wengine hatujui na kupitia nyie shida zetu zinapata ufumbuzi.
πππππππ Usikhofu hapa tunaa specialist wetu kabisa..Kikubwa aje na njia za kunisaidia.lakini akigusia mambo ya h.v.i aisee aisee sipokei
Ushapona mkuu...Ndo maana nikaomba ushauri baada ya kuona hata maabara zenyewe hazinisaidii.
Mbona unamtisha!kula vizuri, lala vizuri, fanya mazoezi, pumzisha mwili wako,
maradhi ni kawaida kwa binadamu hilo ufahamu
hapana,Mbona unamtisha!
acha woga na hisia hasi tafadhali πBora huyo.kuna mwingine kaniambia nikapime mambo magumu.dah nimepata mawazo kwa dakika kadhaa ila nikasema hapana hakuna hicho kitu kwenye mwili wangu.