Ni kweli maana nina ubize pia chakula ndo sijui na sijawahi kuwa na mpangilio maalum nakula chochote muda wowote iwe kwa kuwahi au kuchelewa mfano chakula cha mchana naweza kula saa kumi jioni muda mwingine cha usiku nakula saa tano then kulala kuna wakati nalala saa nane sijawahi kulala saa mbili au tatu kwa miaka kadhaa sasa nikiwahi ni saa nne au tano.hapana,
saa zingine ni mtindo wa maisha, lishe isiyoeleweka, stress za maisha na kutokupata muda wa kutosha kupumzika, unaweza kujikuta katika hali kama ya ndugu yetu π
so,
mazoezi na lishe bora ya kueleweka yaweza kua tiba tosha na ya kudumu kwa mambo mengi ambayo saa zingine tunahisi ni maradhi kumbe hapana π
zingatia sana ule ushauri wa kitabibu ulopewa mwanzo, kisha jaribu kubadili mtindo wa maisha na lishe, shiriki mazoezi na kupumzika vizuri..Ni kweli maana nina ubize pia chakula ndo sijui na sijawahi kuwa na mpangilio maalum nakula chochote muda wowote iwe kwa kuwahi au kuchelewa mfano chakula cha mchana naweza kula saa kumi jioni muda mwingine cha usiku nakula saa tano then kulala kuna wakati nalala saa nane sijawahi kulala saa mbili au tatu kwa miaka kadhaa sasa nikiwahi ni saa nne au tano.
Ngoma hiyoMwezi mmoja nyuma nilipatwa na hali ya kuumwa kwa, kuchoka mwili na homa ile ya watu wazima mwili hauchemki ila kwa mbali unajisikia hovyo, nikaenda maabala, nikapima mkojo, tyiphoid na malaria mara nyingi ndo magonjwa yanayonisumbua sana haya nikakutwa na typhoid na mkojo mchafu malaria haipo nikanunua dawa azuma nikameza dozi ikaisha nikajisikia kupona.
Ila baada ya wiki moja hali ikarudi, kuchoka na kujisikia hovyo, kukosa hamu ya kula n.k ikabidi niende maabala nyingine kupima vyote nikakutwa na malaria 10 pekee daah.nikashangaa haya maajabu. Isiwe kesi nikanunua dawa zile za 2000 nikameza hadi dozi ikaisha nikawa kama nimepona pia nikaendelea na shughuli zangu.
Sasa juzi hapa hali imerudi kama kawaida muda huu ninavyoandika hamu ya kula sina na mdomo ni mchungu balaa.
Naomba ushauri wako nini nifanyeje, dawa gani au vipimo gani nipime hadi nikae sawa.
Naomba msaada raia mwenzenu nikifa taifa linapoteza nguvu kazi na ninategemewa na watu sio chini ya watano.
Mkuu asante kwa comment yako lakini ujue sio wote tuna muda wa kwenda kupanga foleni hospital,ndio maana wenye pesa wana madaktari wao binafis, hivyo basi hata maabara hizi zinasaidia wakati mwingine vinginevyo serikal ingezifunga ikiwa hazina tija. Mimi kwa muda mrefu nimekuwa naenda maabala napima kisha naandikiwa dawa naenda famasi nanunua nameza dozi nzima na napona.Huu uzi ume expose ujinga mwingi sana wa Watanzania
1.Kupenda shortcut mtu badala aende hospitali anaenda maabara anaandikiwa dawa huko maabara anakubali kabisa[emoji3]
2.Ushirikina uliokithiri.
3.Ujujuaji mwingi wa kijanga,mtu anaambiwa aende hospitali anasema kuna utaratibu mbovu.
Mwezi mmoja nyuma nilipatwa na hali ya kuumwa kwa, kuchoka mwili na homa ile ya watu wazima mwili hauchemki ila kwa mbali unajisikia hovyo, nikaenda maabala, nikapima mkojo, tyiphoid na malaria mara nyingi ndo magonjwa yanayonisumbua sana haya nikakutwa na typhoid na mkojo mchafu malaria haipo nikanunua dawa azuma nikameza dozi ikaisha nikajisikia kupona.
Ila baada ya wiki moja hali ikarudi, kuchoka na kujisikia hovyo, kukosa hamu ya kula n.k ikabidi niende maabala nyingine kupima vyote nikakutwa na malaria 10 pekee daah.nikashangaa haya maajabu. Isiwe kesi nikanunua dawa zile za 2000 nikameza hadi dozi ikaisha nikawa kama nimepona pia nikaendelea na shughuli zangu.
Sasa juzi hapa hali imerudi kama kawaida muda huu ninavyoandika hamu ya kula sina na mdomo ni mchungu balaa.
Naomba ushauri wako nini nifanyeje, dawa gani au vipimo gani nipime hadi nikae sawa.
Naomba msaada raia mwenzenu nikifa taifa linapoteza nguvu kazi na ninategemewa na watu sio chini ya watano.
Asante saaaana barikiwa kiongozi.Pole
Pole Sana mkuu.
Nenda ufanye checkup upya katika magonjwa yote
Ikiwa utakuwa na ugonjwa tumia Sindano
Hivyo vidonge vya 2k ni cheap na havina nguvu pole Sana
Tumia sindano
Nenda masika pharmacyNiko morogoro mjini
Muda na afya yako kipi bora,huyo anaekuandikia dawa huko maabara ni daktari???,hicho kipimo cha typhoid hospitali za wilaya tu nyingine hazina uwezo wa kufanya je hizo maabara uchwara,huko maabara mnapewa magonjwa msiyokuwanayo mwisho wa siku unapewa dawa hata hazihusiani na ugonjwa ndo hivyo unameza leo kesho unaumwa tena,....jitahidi uende hospitali maabara hawatumi STGMkuu asante kwa comment yako lakini ujue sio wote tuna muda wa kwenda kupanga foleni hospital,ndio maana wenye pesa wana madaktari wao binafis, hivyo basi hata maabara hizi zinasaidia wakati mwingine vinginevyo serikal ingezifunga ikiwa hazina tija. Mimi kwa muda mrefu nimekuwa naenda maabala napima kisha naandikiwa dawa naenda famasi nanunua nameza dozi nzima na napona.
Kwa taarifa yako hakuna maabara ambayo ina daktari,kama unaandikwa dawa na unapona ni miujiza tu lakini maabara kisheria haziruhusiwi kuwa na daktari, unaandikiwa dawa na mtaalamu wa maabara sio daktri kitu ambacho sio sahihiMkuu asante kwa comment yako lakini ujue sio wote tuna muda wa kwenda kupanga foleni hospital,ndio maana wenye pesa wana madaktari wao binafis, hivyo basi hata maabara hizi zinasaidia wakati mwingine vinginevyo serikal ingezifunga ikiwa hazina tija. Mimi kwa muda mrefu nimekuwa naenda maabala napima kisha naandikiwa dawa naenda famasi nanunua nameza dozi nzima na napona.
Duuuh kumbe najiua bila kujua.asante kwa kunifumbua macho.Kwa taarifa yako hakuna maabara ambayo ina daktari,kama unaandikwa dawa na unapona ni miujiza tu lakini maabara kisheria unaandikiwa dawa na mtaalamu wa maabara kitu ambacho sio sahihi
Asanteeee sana.nilikuwa na watoto nawapeleka maabala sasa ngoja niache huu utaratibu.Muda na afya yako kipi bora,huyo anaekuandikia dawa huko maabara ni daktari???,hicho kipimo cha typhoid hospitali za wilaya tu nyingine hazina uwezo wa kufanya je hizo maabara uchwara,huko maabara mnapewa magonjwa msiyokuwanayo mwisho wa siku unapewa dawa hata hazihusiani na ugonjwa ndo hivyo unameza leo kesho unaumwa tena,....jitahidi uende hospitali maabara hawatumi STG
Ndo hivyo mkuu,hata hicho kipimo cha malaria cha sijui wadudu 10,siku hizi hakitumiki watu wanatumia kipimo cha kisasa kama kile cha ukimwi (MRDT) wao hawatumii sababu hawana,vipo serikalini na hospitalini tu!Duuuh kumbe najiua bila kujua.asante kwa kunifumbua macho.
Wanavyoandika kwa mbwembwembe sasa maandishi yasiyoeleweka utadhani madaktari kweli kumbe sio wanafanya kazi kwa uzoefu tu.
Mgonjwa mkali sana ila tutapambana nae tu hata kama akitema ujiSitaki
Hiyo inasababisha ukosefu wa hamu ya kula??
Inasababisha mdomo kuwa mchungu???
Wewe sio dakitari bhana