Samahani ninaomba kujua namna na jinsi navyoweza kuwa winga kwenye uuzaji wa magari

Samahani ninaomba kujua namna na jinsi navyoweza kuwa winga kwenye uuzaji wa magari

Leviz

Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
61
Reaction score
85
Habarini Ndugu Wana JF,

Samahani ninaomba kujua namna na jinsi navyoweza kuwa winga kwenye uuzaji wa magari Ninachohitaji kujua ni

1.Nawezaji kupata magari ya bei ya chini na wapi?

2.Upatikanaji wa soko la kuuza magari?

3.Vitu vya kuzingatia na changamoto kwenye biashara hii kama winga?

4.Kama Kuna mtu anaweza kunishika mkono motors yake nipo tayari na nitafika ofisini
Natanguliza shukrani 🙏
 
hiyo area ina winga wachache na hawataki muwe wengi. Tafuta dalali, mtoe mpunga kidogo akufundishe kazi. Usiwe na haraka ya hela
 
Back
Top Bottom