Samahani...!!


Kuacha kula nyama siku ya ijumaa ya pasaka hasa katika enzi hizo za kale ambapo dini zilisima ilikua kama sadaka kubwa sana kwa The Lord coz kipindi hicho nyama nyekundu ilikua adimu saaana hivyo matajiri ndo walikua na uwezo wa kula nyama. Therefore kutokula hiyo red meat ilikua mbonge la sadaka ila ilikua samaki inaruhusiwa cause kilikua considered kama chakula cha maskini. NIKIRUDI kwenye suala lako Mzeewaloliondo kama unapenda sana porn kutumiwa salamu na mwanamke kuonesha kua unathamini this day basi sitisha kwa leo.
 

mkuu leo nimeacha
 

Pono kwangu ni uchafu, na uchafu ambao huwa siuvumilii hata kidogo. Kuna baadhi ya mambo ukifanya unafungua mlango wa shetani kuingilia kati. Na familia hizo, zina constant migogoro kila uchao. Jamani, mgeukieni Mungu, kuna raha ya ajabu upande huu, huwezi amini, unatembea kifua mbele.
 
Ndugu
Ndoa sio utakatifu wa mbinguni
Yaani mimi nitoe maiki yangu kwa mdada halafu asitume salamu????
Naizima maiki, nakata na umeme . . .

teh teh tehhhhhhhhhh uwiiiiiiiiiii we CPU kwanini lakni unafanya hivi?????
 
duuuuuuuuuuuuu hiz swaga za vigelegele zimenivutia ghafla mazeeeyaaaaaaaaaaaa>>>>>>>>>>>>>>>>>>
 

amin,tuombee nasi tuguswe na bwana
 
Wewe kama haujaokoka hata ukiacha kula nyama na kuangalia porno siku moja haikusaidii kuupata ufalme wa Mungu kwa hiyo nawashauri wanaofanya hivo wamaanishe, sio unaacha nyama unaenda kufakamia mabia kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…