Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Nyie ndio mnaidhalilisha taaluma ya sheria kama uliona elfu kumi ni nyingi si ungejiandikia mwenyewe.
Hivi unaona ni rahisi tu kuandika na kugonga muhuri eeh..ebu jaribu kujiandikia na wewe uone..
Mi ukija kwenye law firm bila 50 muhuri hupati na kama unataka ni draft hiyo affidavit nahisi andaa 250 labda naweza kukufikiria..
So hiyo elfu kumi kakupendelea sana..ningekua wewe nisingepoteza muda
Kwani na wewe unaandika from scratch au unakopi kopi tu toka kwenye templates?
Tengeneza template yako na wewe basi ka unaona ni kazi rahisi
Wewe unatengeneza templates zako au unatumia zilizotengenezwa na wengine?
Natengeneza mwenyewe
Mwongo wewe. Huna ubavu wa kutengeneza mwenyewe. Unakopi kopi tu kama wafanyavyo wengine.
Nahisi we ndio ulikua lecture wangu miaka yote minne wakati nasoma legal drafting...that's why unaujua uwezo wangu..
FYI mi ni Mbeky mi sio hao wengine
Huna ubavu wa kuandika legal document from scracth wewe. Na hauna tofauti na wengine. Mnadesa kwenye templates tu.
Sina haja ya kubishana nawe katika hili naona naendeleza malumbano yasiyokua na tija afu it is unethical to me.
Nimepitia link yako hiyo unayodai ndio unapata legal documents sa kwa kua we unaaccess basi ni vizuri ukamsaidia huyu mleta uzi kumpatia hiyo affidavit na ikiwezakana ufanyie na verification kabisa maana naona hiyo page itakua inatoa uwezo wa deponents kuswear online.
Kila la kheri brother
Nyani Ngabu bwana haya mkuu............................Mwongo wewe. Huna ubavu wa kutengeneza mwenyewe. Unakopi kopi tu kama wafanyavyo wengine.
kukata affidavit!!!!