F fisimlafi Member Joined Jul 13, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jul 26, 2012 #1 Ningependa kujua maana ya neno "msia". Je, samaki aitwaye msia au mzia ni samaki gani?
denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,950 Jul 26, 2012 #2 Maswali mengine muwe mnagoogle, kutupunguzi idadi ya maandishi humu jf. Sasa hili limeingiaje kwenye jukwaa la lugha, au huyo fish anazungumza..!?
Maswali mengine muwe mnagoogle, kutupunguzi idadi ya maandishi humu jf. Sasa hili limeingiaje kwenye jukwaa la lugha, au huyo fish anazungumza..!?