ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Kama Wizara husika itasimamia sekta ya uvuvi ipasavyo na kutoa elimu ya kutosha kwa wavuvi ikiwa ni pamoja na kuwatengea ruzuku katika bajeti kwa kipindi cha miaka mitano nina uhakika sekta hii peke yake inaweza kutoshereza bajeti ya nchi ambayo ni Trillion 40 kwa mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app