Samaki na uchumi wa taifa

ichumu lya,
Uvuvi bado ni sekta ambayo iko kwenye kiwango cha chini kabisa. Serikali imesahau na kuwaacha wavuvi kama watoto yatima. All in all hata kilimo bado kiko chini mno. Wanasiasa ndiyo wameshika usukani kila sehemu
 
ichumu lya,
Uvuvi bado ni sekta ambayo iko kwenye kiwango cha chini kabisa. Serikali imesahau na kuwaacha wavuvi kama watoto yatima. All in all hata kilimo bado kiko chini mno. Wanasiasa ndiyo wameshika usukani kila sehemu
Ndio maana nimeacha kupoteza muda kupiga kura. Maana wanasiasa wananufaika na umaskini zaidi ya utajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akileta kheri Mi ntatoka na sekta ya Uvuvi.Nikigeuka pande hizo nahamia Deep sea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…