Samaki nilomla ni wa kichina nini??

Nyie watu mubaya sana!!!
Mimi siwezi kuelewa kama mnavyotaka nielewe. Thamaki ni thamaki, ni kitoweo tu.... thio hayo mambo mengine ya wakubwa....
 
naureen samaki wa kichina hana shombo= totoz/shape/**** ya kichina haina shombo wewe ulidhani samaki fish siyo hiyo ni tafsida au nd'o ulisomea akkademia za saint kanumba etc
ama sivyo wenye mada?
Nyie watu mubaya sana!!!
Mimi siwezi kuelewa kama mnavyotaka nielewe. Thamaki ni thamaki, ni kitoweo tu.... thio hayo mambo mengine ya wakubwa....
 
Bahati mbaya nimejifunza kiswahili katika miaka kumi na tano iliyopita. Muda mwingi nimeishi nje ya tz, kwa hiyo kuna vitu vingine sivifahamu.
 
Bahati mbaya nimejifunza kiswahili katika miaka kumi na tano iliyopita. Muda mwingi nimeishi nje ya tz, kwa hiyo kuna vitu vingine sivifahamu.

pole ndugu,raha ya samaki shombo....
 


Mkuu thank you again...ujue huyu samaki niliomla mhhhhhhhhhhhh nilihisi kitu kinapungua lkn sikujua ni nini, baada ya kumaliza na kunawa mhhhhhhhhhhh aha nikakumbuka kumbe hakuwa na shombo...
 
mapishi gani hayo ya kumalza shomo lote? basi hayao mapishi hata mie siyataki, yamepitiliza! raha ya samaki shombo bwana.


shangaa eti mapishi, viungo gani humaliza shomboooooooooooooooooooo
 


Shombo lazima liwepo mkuu, utakimbia weee bila shombo huyo si samaki mkuu...sijamsikia Rev akichangia hapa...
 
Kelewa uzuri kabisaa.Kila kabila lina jinsi yake ya kuandaa samaki jamani! Ila bila shombo kiduchu sijui kama utajua kama ni samaki,beef au kitimoto.Manake hata shobo (aroma) ya kolekole tofauti na prawns!

Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hata mimi naona Nanren yeye anaongelea 'samaki' wa majini wakati thread imetumia neno samaki kama kiwakilishi (tafsida) kupunguza makali ya mnakasha (mjadala)


Dat mkuu wangu heshimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbeleeeeeeeee
 


Soma embe na Bata mkuu am there for really....
 
raha ya samaki angalau kawepo kashombo kwa mbali wangugu.......... hata kama angekuwa wa kichina, sombo muhimu............. otherwise kwangu ni big nooo.................


Mkuu umenena, acha waweke vimbwanga lakini bila shombo mhhhhhhhhhhhhhhhh
 
na utamu wa samaki ukimla sharti umgeuze, wala upande 1 ukisha wambirua wamla na upande wapili,basi hapoo rrrraaahaaaa,hata shombo au vumba hulisikii unakula mpk miba.


Mkuu umenifundisha kitu kimoja hapa, samaki kwetu ziwani mwanza lazima umwanzie Kichwani kumla....wacha bwana utamu huo....
 
chapa nalo jr, umeenda offtopic!
now back to topic...ukienda kutembea ufukweni mwa bahari unapata upepo mwanana wenye harufu ya bahari, na ndo raha ya kutembea ufukweni!
kama hamna harufu itakua swiming puli na sio bahari.


Wasema kweli weye mkuu...senki yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Nyie watu mubaya sana!!!
Mimi siwezi kuelewa kama mnavyotaka nielewe. Thamaki ni thamaki, ni kitoweo tu.... thio hayo mambo mengine ya wakubwa....


Nanren jaribu ule samaki wa kichina weye utajua nini tunaongelea jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…