Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Hongera kwake.
Tuzidi kumuombea kesho afungue Bata Bata
Wafungue mgahawa wa chapati chapati.
Ugali wa muhogo kisamvu na PAPA je
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kifala sanaWakifungua Ng'ombe Ng'ombe ndio nitaenda!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kuku wa kisasa watakoma
kuku kuku mpaka uyu kuku apigwe marufukuHabari wadau wa JF,
Wamiliki wa Samaki samaki waja na brand nyingine ya migahawa yao inayojulikana kama KUKU KUKU,mainly chakula chake kitakuwa Kuku Choma,Kuku Mchemsho etc
Nawasilisha.
Paka Paka ipo Koko Beach kuna mishikaki ya paka na mihogo + Plus slices za kabichi.Afungue na paka paka
Wawe wanatuchijia paka amaAfungue na paka paka
Chapati choma, chapati mchemshoWafungue mgahawa wa chapati chapati.
Matango matango
Bamia bamia