Haaah nunua mwenyeweNani aninunulie samaki jamani namimi niondoe stress🤣🤣
Haaah nunua mwenyewe
Hivi kwa nn mnapenda kununuliwa kila kitu wapumbavu nyie
Maskini ni wewe unayeomba ununuliwe vituShida yenu maskini mna hasira mda wote👀👂
Ngoja nikuignore tu 🤣Maskini ni wewe unayeomba ununuliwe vitu
Ungajiweza usingeomba
Omba omba wewe aka matonya
Kwasisi mwanza inakuaje?Hiz sample tu za picha hizo zipo nipo banana ukonga
Elfu saba kwa mda gani na wangapi?Msos upo special be rahis elf 7 tu
Mkuu Una Dwarf gurami, Tetra na Plecco?Bei ni nafuu sana wawil elf 7 tu piga simu kawaida au whats app 0712505049 had mkoani wanafika kwa bus .
Wanaweza kusafiri toka Dar mpaka Bukoba?Tetra wapo gulam na plecco ntakupa namba ya jamaa anayo