appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Dec 4, 2024 Thread starter #41 U Mwamuzi wa Tanzania said: Full bei gani? Samaki, container, na chakula Click to expand... INategemea samaki wangap chombo cha ukubwa gan
U Mwamuzi wa Tanzania said: Full bei gani? Samaki, container, na chakula Click to expand... INategemea samaki wangap chombo cha ukubwa gan
appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Dec 4, 2024 Thread starter #42 MR KUO said: Wanaliwa? Wanakua? Wanazaliana? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanazaliana ndio wanakua kila samak ana size yake kwenye kuliwa inategemea na wewe mwenyewe ndio maana kuna watu wanakula kitimoto wengine hawal wengine nyoka na panya wengine hawal
MR KUO said: Wanaliwa? Wanakua? Wanazaliana? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanazaliana ndio wanakua kila samak ana size yake kwenye kuliwa inategemea na wewe mwenyewe ndio maana kuna watu wanakula kitimoto wengine hawal wengine nyoka na panya wengine hawal
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Dec 4, 2024 #43 appoh said: U INategemea samaki wangap chombo cha ukubwa gan Click to expand... Just sema kwa mfano. Unaweza kusema chombo cha 4×4 Plus samaki 7 sh. Fulani
appoh said: U INategemea samaki wangap chombo cha ukubwa gan Click to expand... Just sema kwa mfano. Unaweza kusema chombo cha 4×4 Plus samaki 7 sh. Fulani
appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Dec 4, 2024 Thread starter #44 kagombe said: Inakueje ukiwachanganya na kamongo? Click to expand... Kamondo kambale sangara ni jamii ya samaki wala wenzao wakal watawala hawa ni wapole sanaa
kagombe said: Inakueje ukiwachanganya na kamongo? Click to expand... Kamondo kambale sangara ni jamii ya samaki wala wenzao wakal watawala hawa ni wapole sanaa
C clinician JF-Expert Member Joined Mar 5, 2014 Posts 2,098 Reaction score 4,926 Dec 4, 2024 #45 appoh said: N Ndio boss natuma sanaaa tu Click to expand... Kwahiyo pair ya dwarf gurami, pair ya Angel na pair ya Tetra inakuwa 32k? usafiri 10k jumla 42k sio?
appoh said: N Ndio boss natuma sanaaa tu Click to expand... Kwahiyo pair ya dwarf gurami, pair ya Angel na pair ya Tetra inakuwa 32k? usafiri 10k jumla 42k sio?
appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Dec 4, 2024 Thread starter #46 Mwamuzi wa Tanzania said: Just sema kwa mfano. Unaweza kusema chombo cha 4×4 Plus samaki 7 sh. Fulani Click to expand... Chombo cha cm 30 kwa 15 samak wanne filter mawe maua elf 90 complete
Mwamuzi wa Tanzania said: Just sema kwa mfano. Unaweza kusema chombo cha 4×4 Plus samaki 7 sh. Fulani Click to expand... Chombo cha cm 30 kwa 15 samak wanne filter mawe maua elf 90 complete
appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Dec 4, 2024 Thread starter #47 clinician said: Kwahiyo pair ya dwarf gurami, pair ya Angel na pair ya Tetra inakuwa 32k? usafiri 10k jumla 42k sio? Click to expand... pair elf 7 pair 3 elf 21 usafit elf 10 jumla 31
clinician said: Kwahiyo pair ya dwarf gurami, pair ya Angel na pair ya Tetra inakuwa 32k? usafiri 10k jumla 42k sio? Click to expand... pair elf 7 pair 3 elf 21 usafit elf 10 jumla 31