Mildotty JF-Expert Member Joined Jun 29, 2016 Posts 278 Reaction score 198 Nov 2, 2022 #1 Habarini wanajamvi.. Kwa mahitaji ya samaki wabichi kutoka maji baridi karibuni sana.. Tunauza kwa bei ya Jumla na rejarereja.. Kg 1 unapata kwa 11,000 na bei inapungua kadri utakavochukua kilo nyingi kuanzia kg 5 na kuendelea unapata kwa bei ya Jumla.. Karibuni sana.. Ofisi zetu zinapatikana Ubungo-Riverside Dsm na Delivery pia tunafanya.. Mawasiliano haya hapa chini Watsap 0672323369
Habarini wanajamvi.. Kwa mahitaji ya samaki wabichi kutoka maji baridi karibuni sana.. Tunauza kwa bei ya Jumla na rejarereja.. Kg 1 unapata kwa 11,000 na bei inapungua kadri utakavochukua kilo nyingi kuanzia kg 5 na kuendelea unapata kwa bei ya Jumla.. Karibuni sana.. Ofisi zetu zinapatikana Ubungo-Riverside Dsm na Delivery pia tunafanya.. Mawasiliano haya hapa chini Watsap 0672323369
M mockers JF-Expert Member Joined Nov 19, 2013 Posts 12,843 Reaction score 35,442 Nov 2, 2022 #2 Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo
Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,915 Reaction score 5,038 Nov 2, 2022 #3 Arovera said: Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo Click to expand... ha ha kamongoo
Arovera said: Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo Click to expand... ha ha kamongoo
Mildotty JF-Expert Member Joined Jun 29, 2016 Posts 278 Reaction score 198 Nov 2, 2022 Thread starter #4 Arovera said: Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo Click to expand... Attachments DBD23459-BF2A-41AE-85CB-BA53B716F0DD.jpeg 76.1 KB · Views: 22 0FE1E2A2-99FF-45A0-BBA6-BA13C6A1602D.jpeg 132.8 KB · Views: 16
Mildotty JF-Expert Member Joined Jun 29, 2016 Posts 278 Reaction score 198 Nov 2, 2022 Thread starter #5 Arovera said: Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo Click to expand... Sikuwa na picha nzuri za hao ila saivi nmezipata nimeziongeza hapo mkuu!!
Arovera said: Umepost perege tu wengine vipi kama kambale, na kamongo Click to expand... Sikuwa na picha nzuri za hao ila saivi nmezipata nimeziongeza hapo mkuu!!
C chanduka Member Joined Aug 12, 2020 Posts 60 Reaction score 59 Jan 19, 2024 #6 Mildotty said: Sikuwa na picha nzuri za hao ila saivi nmezipata nimeziongeza hapo mkuu!! mkuu vp naweza kuwa nakuletea mzgo wa xamaki wa kutol mtera au bahi Click to expand...
Mildotty said: Sikuwa na picha nzuri za hao ila saivi nmezipata nimeziongeza hapo mkuu!! mkuu vp naweza kuwa nakuletea mzgo wa xamaki wa kutol mtera au bahi Click to expand...