Samaki waliokufa ufukweni Dar, hawakufa kwa sumu - Waziri

Kuna tatizo na tatizo niliona mwanzoni tuu baada ya wao kuhamia eneo la tukio wao walipelekewa sampo na mpeleka sampo anasema tusubiri majibu kutoka kwa wataalamu wakati samaki wanaendelea kuokotwa baharini...Nchi ngumu sana hii
 
Kwa nini walikosa hewa?...why.?..sio kitu cha kawaida...huyu waziri anapenda mteremko sana kwa hiyo uchunguzi uliofanyika ndio huu..
Tanzania ina vichekesho sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…