Hawa samaki gani Familiar mbona wana Vichwa kama nyoka aina ya Cobra, alafu unasema ni watamu duuuhKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
ndio nimeshangaa hao nyoka kabisaHawa samaki gani Familiar mbona wana Vichwa kama nyoka aina ya Cobra, alafu unasema ni watamu duuuh
hapo utakuwa unabisha sasaHapana Mkuu
Angalia Vichwa vya hao samaki chunguza kwa makiniCobra yupo wapi!??
Haya ni makambale... Huku Arusha mara nyingi wanayatolea bwawa la mavi kama wasemavyo wenyejiKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Noma Mzee na kilichonitambulisha kujua hao ni nyoka ni hio mibichwandio nimeshangaa hao nyoka kabisa
Kama kambale vileKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
mmhNimekula huyo wa juu mkono wa Kushoto mkuu π
Bora nile Uduvi ila sio hao samaki.Mimi nimekula huyo wa juu kushoto mkuu