Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye ujuzi kama Benchika au Gamond

Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye ujuzi kama Benchika au Gamond

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Kupangwa au kutopangwa kwa Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye weledi wa hali ya juu kufundishia timu ta Taifa Stars.

Kumbuka timu ya Taifa Stars ndio timu pekee yenye wapenzi wengi wa soka kuliko hata Simba na Yanga hapa Tanzania. sasa kumchagua kocha mzalendo ambaye background yake ya kufundisha timu za ligi kuu Tanzania ni mbovu , huu huu ndo mzizi wa wa kweli wa kutoifanta timu icheze vizuri.

Watanzania tuwe tunahoji uwezo wa awali wa kocha wa Taifa Stars. kama kocha huyo aliwahi kufanikiwa kupeleka timu World Cup, AFCON na kubeba kombe la klabu bingwa Africa basi tumkubali atufundishie timu yetu.

Kwa kweli level hii ya kocha wa kimataifa itatufanya tuwe tunajazana uwanjani sio tuu kuona ushindi bali pia soka la kitabuni bora.

Soma Pia: Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025
 
Tff fukuzeni benchinzima la ufundi la tff haraka,jana hatukushinda kwa mipango bali tulishinda kwa bahati tu,hana ujuzi,hana plan yoyote,ni bora liende,huyo ni kocha wa timu za ndondo
 
Unaongea kama nan kwenye tasnia yasoka bongo
 
Tff fukuzeni benchinzima la ufundi la tff haraka,jana hatukushinda kwa mipango bali tulishinda kwa bahati tu,hana ujuzi,hana plan yoyote,ni bora liende,huyo ni kocha wa timu za nd

Tff fukuzeni benchinzima la ufundi la tff haraka,jana hatukushinda kwa mipango bali tulishinda kwa bahati tu,hana ujuzi,hana plan yoyote,ni bora liende,huyo ni kocha wa timu za ndondo
ACHA wivu usiojenga. Unakuwa na mawazo Hasi kwa vile makocha ni watanzania!!!
 
ACHA wivu usiojenga. Unakuwa na mawazo Hasi kwa vile makocha ni watanzania!!!
hoja sio uzawa,hoja hao makicha wote ni waganga wa kienyeji,wapo makocha wazawa wenye ujuzi na rekodin nzuri mfano meki mexime au bakari shimye wanafaa kabisa
 
Tff fukuzeni benchinzima la ufundi la tff haraka,jana hatukushinda kwa mipango bali tulishinda kwa bahati tu,hana ujuzi,hana plan yoyote,ni bora liende,huyo ni kocha wa timu za ndondo
Hamna kocha mle muzeye.
 
we ndio unatakiwa kuanza kufukuzwa hjmu jamii forums, ulaya huko kuna mtu kaishusha ligi burnley lakn kakabidhiwa bayern munchen
 
we ndio unatakiwa kuanza kufukuzwa hjmu jamii forums, ulaya huko kuna mtu kaishusha ligi burnley lakn kakabidhiwa bayern munchen
ni kweli lakini huyo unayemsemea ni kocha mwenye ujuzi na ana track record,huyu wa kwetu ana track record ipi?
 
Back
Top Bottom