Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Mar 3, 2016 #2 Nchi inaweza ikawa na ligi yenye ushindani mkubwa ulio katika kiwango bora kabisa, lakini timu ya taifa husika ikawa mbovu tu, and vice-versa
Nchi inaweza ikawa na ligi yenye ushindani mkubwa ulio katika kiwango bora kabisa, lakini timu ya taifa husika ikawa mbovu tu, and vice-versa
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,548 Reaction score 63,038 Mar 3, 2016 #3 This is fake Ranking......!
jd41 JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,756 Reaction score 4,847 Mar 4, 2016 #4 ...hii nchi inabebwa na ubora wa wachezaji wake wanaocheza ligi za nje,sio hao wanaocheza ligi ya ndani,wao kuwa juu ni kwasababu ya kina de bruyne,hazard,kompany na wengine wa nje.
...hii nchi inabebwa na ubora wa wachezaji wake wanaocheza ligi za nje,sio hao wanaocheza ligi ya ndani,wao kuwa juu ni kwasababu ya kina de bruyne,hazard,kompany na wengine wa nje.
B Baba Kiki JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,544 Reaction score 943 Mar 5, 2016 #5 Kabla ya kwenda nje walitokea wapi? Na kutokea kwao kulikuwa kwa bahati mbaya au planned? Kuna mengi ya kujifunza
Kabla ya kwenda nje walitokea wapi? Na kutokea kwao kulikuwa kwa bahati mbaya au planned? Kuna mengi ya kujifunza
PAGAN JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,181 Reaction score 20,148 Mar 5, 2016 #6 Genk leo wanapiga na Standard de Liege, angalia hapa jinsi walivyopost kwenye Facebook page yao. Samata anawakilisha kwa kweli... Matchday !!! 51 punten was het doel. Nog zes te gaan. Wij beginnen er vandaag aan !!! [HASHTAG]#krcgenk[/HASHTAG][HASHTAG]#blauwbloed[/HASHTAG][HASHTAG]#dasfrza[/HASHTAG][HASHTAG]#cobw[/HASHTAG] Matchday!!! 51 points was the goal. Six more to go. We start there today!!! #Krcgenk#blauwbloed #dasfrza #cobw Translated from Dutch — with Privat Franck Koffi, Samatta Samatta andMbwana Samatta.
Genk leo wanapiga na Standard de Liege, angalia hapa jinsi walivyopost kwenye Facebook page yao. Samata anawakilisha kwa kweli... Matchday !!! 51 punten was het doel. Nog zes te gaan. Wij beginnen er vandaag aan !!! [HASHTAG]#krcgenk[/HASHTAG][HASHTAG]#blauwbloed[/HASHTAG][HASHTAG]#dasfrza[/HASHTAG][HASHTAG]#cobw[/HASHTAG] Matchday!!! 51 points was the goal. Six more to go. We start there today!!! #Krcgenk#blauwbloed #dasfrza #cobw Translated from Dutch — with Privat Franck Koffi, Samatta Samatta andMbwana Samatta.