Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa nikifatilia mechi kadhaa za team ya Fenerbahce lakini nahodha wetu takribani mechi 5 mfululizo zilizopita sijamuona akicheza na hata kwa wachezaji wa akiba jina lake halipo! Nijuzeni nini kimemkumba, au ndo yaleyale ya Villa?
[/QUOTE
Majeruhi mkuu
Ni majeruhi anauguza majeraha si unajua mashekhe za Turkey ukiwazidi soka wanakupiga misumari.Nimekuwa nikifatilia mechi kadhaa za team ya Fenerbahce lakini nahodha wetu takribani mechi 5 mfululizo zilizopita sijamuona akicheza na hata kwa wachezaji wa akiba jina lake halipo! Nijuzeni nini kimemkumba, au ndo yaleyale ya Villa?
Samatta ni majeruhi ndo maana mechi ya taifa stars na Tunisia hakuchezaWachezaji wa kitanzania hawawezi kucheza Ulaya wana mpira mdogo sana.
Alidanganya umri, sasa mwili na akili vinashindana.[emoji2][emoji1787]Nimekuwa nikifatilia mechi kadhaa za team ya Fenerbahce lakini nahodha wetu takribani mechi 5 mfululizo zilizopita sijamuona akicheza na hata kwa wachezaji wa akiba jina lake halipo! Nijuzeni nini kimemkumba, au ndo yaleyale ya Villa?
Alidanganya umri, sasa mwili na akili vinashindana.... [emoji2][emoji1787]
hata mechi ambazo anacheza hakuna anachofanya. Ukitazama rating za wachezaji baada ya mechi Samatta ndio huwa na rating ndogo kabisa. Yuko over-rated sana.Nimekuwa nikifatilia mechi kadhaa za team ya Fenerbahce lakini nahodha wetu takribani mechi 5 mfululizo zilizopita sijamuona akicheza na hata kwa wachezaji wa akiba jina lake halipo! Nijuzeni nini kimemkumba, au ndo yaleyale ya Villa?
Halafu alifika wapi.Ubelgiji alupokuwa anacheza ni afrika?
alisema anamiaka mingapi?Alidanganya umri, sasa mwili na akili vinashindana.... [emoji2][emoji1787]