Yaah yupo sahihi kabisa maana Shomari aliumia akiwa Lesotho kwenye kambi ya timu ya taifawell said
Halafu sina uhakika kama Starz ina taratibu za kuhudumia wachezaji walioumia wakiwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa.Yaah yupo sahihi kabisa maana Shomari aliumia akiwa Lesotho kwenye kambi ya timu ya taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaWenzao na kina huyu jamaa PETER TINO hakika wamedhulumiwa hivi tino ulijipa ASSIST??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kapombe tangu aumie amepata nn toka starz zaidi ya Simba kumtibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia hiyo ndio sheria ya FIFA..ingawaje TFF wamesaidia tiketi za ndege nkKwani Kapombe tangu aumie amepata nn toka starz zaidi ya Simba kumtibu?
Sent using Jamii Forums mobile app