Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Safi sana jembe endelea kutuwakilisha vyema watanzania.
Hawezi kufanya hivyo kwenye timu ya Taifa kwasababu anacheza na wachezajo wengi wasiojitambua uwanjani watu ambao mpaka wavute bangi ndiyo mpira uchezwe.Afanye hivyo hivyo hata akiwa Taifa Stars, kwa mfano angetupia hata bao moja tu dhidi ya Nigeria si tungekuwa mbali! Ufundi uanzie nyumbani (Taifa Stars) kisha ndiyo uende huko nje (TP Mazembe).
Hawezi kufanya hivyo kwenye timu ya Taifa kwasababu anacheza na wachezajo wengi wasiojitambua uwanjani watu ambao mpaka wavute bangi ndiyo mpira uchezwe.
Hawezi kufanya hivyo kwenye timu ya Taifa kwasababu anacheza na wachezajo wengi wasiojitambua uwanjani watu ambao mpaka wavute bangi ndiyo mpira uchezwe.
Hawezi kufanya hivyo kwenye timu ya Taifa kwasababu anacheza na wachezajo wengi wasiojitambua uwanjani watu ambao mpaka wavute bangi ndiyo mpira uchezwe.
Mechi dhidi ya nigeria sammata hakucheza vizuri..inshort alitukosesha magoli ...ni mbinafsi...na hachezi vizuri huku kwa kuwa tunamnyenyekea na kumuona ni mungu mtu tofauti na mazembe......
Afanye hivyo hivyo hata akiwa Taifa Stars, kwa mfano angetupia hata bao moja tu dhidi ya Nigeria si tungekuwa mbali! Ufundi uanzie nyumbani (Taifa Stars) kisha ndiyo uende huko nje (TP Mazembe).
Safi sana samatta