Samatta atozwa Faini

Baba yake alishamwekea hiyo changamoto wakati yuko TP Mazembe, akawa anamtoza Tsh. 500/= kila anapokosa penati.

Ugumu wake ni kuwa, ni lazima ailete hiyo nyumbani yeye mwenyewe.
 
Baba yake alishamwekea hiyo changamoto wakati yuko TP Mazembe, akawa anamtoza Tsh. 500/= kila anapokosa penati.

Ugumu wake ni kuwa, ni lazima ailete hiyo nyumbani yeye mwenyewe.
Duh....!! Hii ya juzi kaipeleka??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…