Samatta atulie tu, Page ya Man City imejaa wa Algeria na mashabiki wameshazoea

Wabongo ni noma .
Afu utasikia oh tcra hivi hii mitandao hamuioni inavyotupandishia bei za vifurushi au mmeshindwa kazi?yaani GB 2 ndani ya masaa mawili!

Kumbe jamaa washaona mbongo bila kupiga soga mtandaoni siku haijaisha,sasa kuna mfanyabiashara ambaye hachezi na fursa!

Serikali nayo inataka kodi,mitandao inavyotupiga ndivyo nayo inavyokusanya chake kinono zaidi..
 
Wabongo tumenyimwa vipaji vingine tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…