Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

kitendo cha bashite kuwa karibu na timu ya taifa ni kama kahamishia gundu lake kwa wachezaji.

nyota ya samatta licha ya kuwa mfungaji bora wa league ya ubelgiji msimu uliopita ni kama imeshafifia.
Samatta hakuwa mfungaji Bora alikuwa mfungaji bora wa pili
 
amuangalie tena na tena na tena slimani aliekipiga pale leicester city kama nitakua sijakosea......je ataweza kuwa kama yeye
 
ili awe bora lazima awe na wachezeshaji wazuri kwenye eneo la kiungo... Mbwana yupo vizuri ni mchezaji mzuri mwenye kipaji cha mpira
Mbwana anahitaji wachezaji wazuri ili umuone....uzuri wake hawezi kufanya mistakes alikuwa anazifanya Yusuf.

Tatizo lake kujiposition/kukaa nyuma ya beki mpira uwapo mbele.

Sio mbaya.
 
kitendo cha bashite kuwa karibu na timu ya taifa ni kama kahamishia gundu lake kwa wachezaji.

nyota ya samatta licha ya kuwa mfungaji bora wa league ya ubelgiji msimu uliopita ni kama imeshafifia.
Samatta hakuwa mfungaji bora, alishika nafasi ya 2.
 
Mbwana anahitaji wachezaji wazuri ili umuone....uzuri wake hawezi kufanya mistakes alikuwa anazifanya Yusuf.

Tatizo lake kujiposition/kukaa nyuma ya beki mpira uwapo mbele.

Sio mbaya.
Na jamaa anajiamini sana anapokuwa na mpira miguuni
 
Acha uwongo wabongo mna nini kuongea vitu msivyo na uhakika navyo Google top score wa Belgium league 2018 /2019 kazi uwongo tu bila sababu kwa nini lakini unashindwa hata kusoma tu unadanganya eti wa pili umetoa wapi hizo takwimu stupid
mtunisia alipiga goals 25 samatta 23 sema mtunisia katika hizo 25 goals 10 ni za penati kwa hiyo samatta ni wa pili siyo wa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…