masterjuly77
JF-Expert Member
- Jun 29, 2009
- 221
- 173
Ngoja TuGoogle, Maana Hata Mimi Sielewielewi Huko Belgium Nani Mfungaji Bora 2018/2019eh.... hatari sana. Wewe umesoma wapi alikuwa mfungaji bora?
Wanastahili vipigo hivyoni mpuuzi tu captain mzima unahojiwa unaingiza mambo ya siasa kwenye team,wendawazimu hao wa ccm stars na bashite wao hata hizo 3 hazikuwatosha walitakiwa wabebeshwe zigo la mavi
ni mpuuzi tu captain mzima unahojiwa unaingiza mambo ya siasa kwenye team,wendawazimu hao wa ccm stars na bashite wao hata hizo 3 hazikuwatosha walitakiwa wabebeshwe zigo la mavi
Hebu punguza chuki na hasira Mkuumtunisia alipiga goals 25 samatta 23 sema mtunisia katika hizo 25 goals 10 ni za penati kwa hiyo samatta ni wa pili siyo wa kwanza
Kumbe jamaa kashupaa hadi ngita kutoka bila facts?mtunisia alipiga goals 25 samatta 23 sema mtunisia katika hizo 25 goals 10 ni za penati kwa hiyo samatta ni wa pili siyo wa kwanza
YesHebu punguza chuki na hasira Mkuu
Samata alikua top scorer bana.....
Source uefa.com
punguza chuki kwa mtunisia (harbaoui wa zulte waregem)kujaribu kumuondelea ufalme wake wa magoli ,samatta alikuwa anaongoza kabla ya play offsHebu punguza chuki na hasira Mkuu
Samata alikua top scorer bana.....
hapana.... lakini kwa kuwa ni CCM anaweza kuwa top scorer wa ligi ya ubelgiji..... ila kiuhalisia yeye alikuwa wa pili.Hebu punguza chuki na hasira Mkuu
Samata alikua top scorer bana.....
nawashangaa wana google wanaleta charts za apriol wakati league ina play offs jamaa kaja kumpita mwezi wa tano mwishoni hukohapana.... lakini kwa kuwa ni CCM anaweza kuwa top scorer wa ligi ya ubelgiji..... ila kiuhalisia yeye alikuwa wa pili.
Tena ni mpuuzi kiwango cha rami *****ni mpuuzi tu captain mzima unahojiwa unaingiza mambo ya siasa kwenye team,wendawazimu hao wa ccm stars na bashite wao hata hizo 3 hazikuwatosha walitakiwa wabebeshwe zigo la mavi
Na victor wanyama vipi ndugu mthaminishaji wachezajiLabda akacheze championship,
Shida ni huyu Jamaa Albert ndo kidudu mtu kaharibu kabisa ladha ya mpira lakini bora dunia ijue kua watu wengi hawaipendi ccm wanatawala kimabavu tu lakini majority hawaikubaliChuki zako binafsi na makonda usihamishie kwa dogo,anafanya vizuri kwenye mpira,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Labda top score wa mbagala market ya kwao?Hebu punguza chuki na hasira Mkuu
Samata alikua top scorer bana.....
Wanyama kacheza hadi fainali UEFA unataka kumfananisha na ujinga gani?Na victor wanyama vipi ndugu mthaminishaji wachezaji