Samatta hatomaliza misimu miwili ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)

Mwanzoni mlisema hana kiwango cha kucheza EPL,Mungu kawaonyesha ana uwezo hata wa kucheza mbinguni,leo mnasema vingine,kesho mtasema yepi tena.

Roho mbaya ni zao baya sana la uchawi.
 
Amepewa nauli na Nani ya kwenda England?
Accommodation je?
Ulaya hakuna shangazi. Shaffi sio local ana badge ya FIFA ya uandishi wa MICHEZO ndiyo maana fainali kubwa kubwa( world cup Brazil alikwenda) Europe league anapenda,.
Usimdharau Dauda.
 
Acha upumbavu wewe, kwenye team kila mtu ana responsibility yake, usitake afanye kila kitu yeye..

Ndio maana umeji defence maana kwakuwa unajua utaongea ujinga


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Huyo mtoa mada hajui chochote, achana nae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kitu ambacho huyu mtoa mada hii hakijui ni kwamba,hivi sasa,samatta anafundishwa mpira tofauti na uke wa genk,anafanya mazoezi tofauti na yale ya genk,na kicha qake deen smith amesema wazi kuwa ni mchezaji mzuri na kwa sasa wanampa mazoezi tofauti sana na baada ya miezi 3,huyo samatta atakiwa tofauti kabisa,tusubiri,jambo la muhimu ni kumpa moyo na kwa jinsi alivyo atamudu,fahamu samatta hanywi pombe,samatta ni mtu mwenye nidhamu ya hali ya juu sana,akitoka mazoezi ni nyumbani na kwa sasa ameajiri kocha wake wa viungo wa binafsi acha yule anayempa mazoezi kwenye timu.atafika mbali kwavmiaka 3 iliyobaki kwake kucheza mpira wa kiushindani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea ukweli, ata akija Taifa stars huwa anapenda sana kushuka na kukokota mpaka huwa ananikera. Kuna clip ya goli alifunga akiwa Simba alitoka na mpira katikati, akupunguza beki kama nne na akafunga. Jamaa anachuki binafsi.
Mtoa mada umewai mfuatilia samata akiwa simba mpaka Tp Mazembe? Magoli ya kupunguza mabeki kadhaa mbona alifunga sana. Mi naona alivyoenda Genk kocha akaona ni mzuri zaidi ndani ya box

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada hawezi kukuelewa hata kidogo,

Ni team Kiba [emoji23],

Usitegemee kusifia WCB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao kina mesi, ronaldo,, ni ma beki? Mbona wanatafuta mipira na kutupia kila leo? Huna hoja
Kwa hiyo nyie ni wataalam wa soka kuliko bench LA ufundi la Aston Villa lililo kaa na kukubali kuachana na fedha equivalent na zaidi ya shs bilioni 25 kumpata Samatta?
 
Sasa kwa nini astonvilla wamemnunua kama walikuwa wakizifuatilia videos zake za jinsi alivyokuwa anatafuniwa na kumeza
 
Sawia Mkuu ata Tp mazembe alikuwa anapunguza na kukunguta haswa mashuti ndio maana sikushangaa ufalme wa Mputu kuisha. Na Genk kuimba jina lake mtoa mada nadhani kaanza kumtazama mbwana Genk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui chochote katika football, kale makande huko. Hujui mgawanyo wa majukum kwa nafasi mbalimbali za wachezaji ndani ya uwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunao Watanzania wa namna hi, katika mitaa yote hapa Tz, inakaduriwa hawapungui 11% ya watz wote Wana tabia hii. Husna, kijicho, uchawi, ushirikina na kutowapendelea wenzao mafanikio. Wewe ni mwanga
 
Kwanza, you have to be good to be lucky (Huwezi kuwa na bahati kama sio mzuri kwa ukifanyacho) Na pia striker kazi yake ni kusubiri kuletewa tu sio kutafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…