Samatta hatomaliza misimu miwili ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)

Watu kama wewe kwenye vijiwe vya Kahawa naweza nikakupiga mdomo.
 

Be serious mkuu
 
duuh, aisee
 
Jamaa walikubeza sana na huyo post ya kwanza akakuita mwanga kabisa,watu wakamshangilia. Unaona mbali sana mashabiki wengi Tz wana mihemko tu ya soka,lakini soka lenyewe hawalijui. Hasa hawa mashabiki wa simba na manara wamechangia kiasi kikubwa kuharibu soka la bongo. Naamini hata hao waliokupinga ndio hao wengi
 
Sikubaliani na wewe hata kidogo,kwanza jiulize samatta amekaa uingereza muda gani?na je toka alipofika aliqeza kupata nafasi ya kuzoeana na wenzie?.Toka alipofika hakufanikiwa kuwa na wachezaji wenzie kwa muda mrefu ikaja corona,kwahiyo hakuweza kufanya kazi na wenzie kwa muda mrefu ili aweze kuuzoea mchezo wa uingereza
Unasema samatta hawezi kujitafutia mwenyewe,hivi unataka kuniambia washambuliaji wote wa uingereza wanajitafutia wenyewe mipira?
Jambo la muhimu hapa,ni kutambua juhudi za samatta na kumuomba huko aendako akapate mafanikio mengi,sio kumzodoa kiasi hicho ulichofanya wewe,wakati wewe huna hata uwezo wa kuchezea timu ya wazee wa uingereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…