Samatta kapiga hat-trick

Chrizo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
714
Reaction score
792
Mshambuliaji hatari wa Genk Mbwana Samatta ameisaidia timu yake kupata ushindi kwa kufunga goli 3 peke yake katika ushindi mnono wa Goli 5-2 walioupata dhidi ya Broendby katika mechi ya kufuzu kucheza Ligi ya Europa. Tunampongeza sana kwa kuzidi kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…