Hahaha! kabisa. Ila sio zake. Hizo ni za club yake.Yeye atafaidi mshahara.
Kama ni ivyo basi ni ujinga mtupuHahaha! kabisa. Ila sio zake. Hizo ni za club yake.Yeye atafaidi mshahara.
Anawawakilishaje...?? Nyinyi kama nani hadi Mbwana awawakilishe!? Au anawakilisha ktk nini? Kwa Malkia muonekane watu kati ya Vima!???Hongera sna Mbwana katuwakilishe vyema kwa malkia nasi tuonekane watu katikati ya vima..
Kwa hiyo wamempakazia?. Nako kuzimikia sana ligi fulani ni utumwa. Unaenda tu kwa sbb ni England hata kama timu inashuka daraja?Timu inashuka daraja hiyo
Timu inashuka daraja hiyo
Timu inashuka daraja hiyo
Namjua vizur, na huyo jamaa alishuka daraja na timu yake,Villa ni struggling team, unamjua Andre Ayew ja kiwango chake chote kile yupo Swansea championship
Congratulations kwa Magufuli hahaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hiki ni KISHINDO CHA AWAMU YA TANO!!
Tangu tupate uhuru haijawahi kutokea. Labda vibaraka wa mabeberu na wasaliti wa nchi yetu ndiyo watapinga!!Congratulations kwa Magufuli hahaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi "jiwe"anaweza kuuzwa hata nusu bei hiyo? Najaribu kuwaza tu!Hiyo ni shs za kibongo 23,000,000,000
EXCLUSIVE :
Mbwana Samatta to Aston Villa Deal Done. Kesho asubuhi saa 1 anapanda ndege kutoka Dusseldorf kwenda Birmingham kwa ajili ya medical check up. Transfer fee ni takribani £9M
akiwa genkTunatofautiana kuwaza,,unatoka champions league kwenda Astonvilla?
Sent using Jamii Forums mobile app