Samatta mbioni kujiunga na Aston Villa

Sasa uchawi gani kama hapo?. Kwamba anaifanyia uchawi Aston villa ishuke ksbb ya samata kwenda huko?. Au ni timu yenyewe iko kwenye mstari mwekundu kupiga chini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nmemjibu huyo aliyesema abakie genk et kisa Aston Villa inashuka daraja. Sasa hao Aston Villa unadhan wanamsajil samatta ili ajaze kikos au aisaidie Tim isishuke daraja???

Yaan mtu kupiga hatua kimafanikio halaf unamponda huo ni uchaw Kama uchaw mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh,wabongo kwa kupenda kufanana mawazo hamjambo,haya namtakia kila la kheir huko aendako,ila kwangu mimi,champions league,europa,azisikie kwenye bomba kwani hayo kwangu mimi ni mafanikio zaidi ya kwenda kwenye timu ambayo kwenda huko ni ndoto ya alinacha
 
Genk ya mwaka huu haina kitu tena haiwezi hata kwenda Europa na Maisha ni mafupi, bora aje kwenye ligi yenye mshiko na pia kumtangaza ajulikane. Mchezaji wa timu ya EPL inayoshuka daraja ana mshiko na kujulikana kuliko mchezaji wa Genk iliyochukua ubingwa wa Ubelgiji
 
Chifu, changamoto ninayoiona kwa Samatta labda umri ingawaje not too old! Hivi umeshawahi kujiuliza ni mara ngapi Samatta ataonesha uwezo wake endapo Aston Villa inabaki EPL?! Kwa mwaka ataangaliwa dunia mzima ya wapenda soka kwa mechi dhidi ya Liverpool, Man U, Man City, Arsenal, Chelsea, na Tottenham. Kama atabahatika kucheza mechi zote hizo, atakuwa anaangaliwa angalau mara 10 kwa mwaka!!

Pia ana uwezekano mkubwa wa kuangaliwa kupitia mechi zingine kadhaa kama vile dhidi ya Newcastle, Everton, Leicester City, Crystal Palace na hata Southmpton bila kusahau Wast Ham. Opportunity kama hiyo asingeweza kuipata pale Genk, manake hata inaposhiriki Champions and Europa, huwa wanatolewa hatua za awali kabisa! Msimu huu ndo vile tu alipata bahati Genk kupangwa na vigogo kama vile Liverpool na Napoli, ndio maana ali-trend!!

NB: Kwa kungalia EPL Standing, Villa ina nafasi kubwa sana ya kubaki EPL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…