Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kocha Morocco amewacha Mbwana Samatta na Saimon Msuva katika Kikosi hicho kitakachocheza dhidi ya Ethiopia na Guinea huku akimrudisha kikosini Mlinzi wa Yanga SC Dickson Job ambapo katika kikosi kilichopita kukosekana.