Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
wapumzike tuMsuva bado anaitaji siyo samata
Soma vizuriBado Job hayupo
Amechagua vizuri. Vp Beno?Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman akitaja Kikosi kitakachoingia kambini Agosti 28, 2024 kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea itakayochezwa Septemba 4 na Septemba 10, 2024.
Kocha Morocco amewacha Mbwana Samatta na Saimon Msuva katika Kikosi hicho kitakachocheza dhidi ya Ethiopia na Guinea huku akimrudisha kikosini Mlinzi wa Yanga SC Dickson Job ambapo katika kikosi kilichopita kukosekana.
Mwamba alikua anapambana sana.Nimeumia kutomuona kikosini
1. Haji Mnoga
Kwani tunafuzu basi??Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman akitaja Kikosi kitakachoingia kambini Agosti 28, 2024 kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea itakayochezwa Septemba 4 na Septemba 10, 2024.
Kocha Morocco amewacha Mbwana Samatta na Saimon Msuva katika Kikosi hicho kitakachocheza dhidi ya Ethiopia na Guinea huku akimrudisha kikosini Mlinzi wa Yanga SC Dickson Job ambapo katika kikosi kilichopita kukosekana.
Umetizama ki Utopolo zaidiBado Job hayupo
Makipa Wawili tu!!Zama za Alhaji Mzize zimewadia rasmi. Ngoja tuone na yeye kama atatubeba mgongoni mwake. Apewe na ucaptain kabisa. Forward yetu imekuwa butu sana.
Hivi wale wachezaji wa nje damu mchanganyiko tumewatosa wote?
Huenda tukapenya mkuuKwani tunafuzu basi??