Samatta na Clouds Fm

John Kombo

Member
Joined
May 15, 2013
Posts
31
Reaction score
16
Msaada, Hivi soka la tanzania linasimamiwa Clouds FM au TFF?

Nilidhani serikali na Tff ndiyo ingekuwa na dhamana ya kupromote na kumwandalia sherehe Samatta, au claude fm wameona fursa wanataka wapige mpuga kupitia Samatta?

Mana sasa hv hatusikii diamond wala ally kiba, wasije wakamtumia kama jaydee na wengine walivyotumika.
 
Last edited by a moderator:
kwani ni dhambi kutumia fursa? waache wazitumie wengine si wamelala
 
Tff na serikali imelala usingizi wa pono
Wacha wajanja wa mjini wapige mpunga
 

Sasa Mnadhani Shafii Dauda Atarudishaje Pesa Zake Za Nauli Alizozitumia Kwenda Nae Huko Abuja Nigeria? Hivi Mmesahau Kuwa Shafii Dauda Ni Mfanyakazi Wa Clouds Media Group Tena Akiwa Ndiyo Mkuu Wa Kitengo Cha MICHEZO Halafu Msisahau Kuwa Dauda Na Mbwana Hawajakutana Jana Wala Leo Bali Ni Washikaji Tokea Kitambo Hivyo Imekuwa Rahisi Mno Kwa Shafii Kufanya Lobbying Kwa Samata Kwa Faida Yake Binafsi Na Kwa Faida Pia Ya Mwajiri Wake Clouds Media Group.

Kuna Watu Sasa Kupitia Mbwana Samata Watayapeleka Magari Yao Yaliyokwama Kwa Fundi, Watamalizia Mabati Ktk Nyumba Zao, Kulipa Madeni Na Hata Kuwasomesha Watoto Wao.

Kifupi Ni Kwamba Mbwana Samata Kawaanzishia Watu Mwaka 2016 Vizuri Sana ILA Anatakiwa Awe Makini Mno Kwani Hii Ndiyo TANZANIA au Bongo Land.
 
Last edited by a moderator:
TFF ipo sasa au ishajifia! Si bora hao clauds wameona wafanye kitu cha kumfanya Samata ajihisi ana watu wanampenda bila clouds kufanya hivyo TFF ungesikia malinzi katoa pongezi kwenye magazeti na mchezo umeishia hapo
 
Naombeni mnisaidie kitu,hivi Samatta kalamba sh'ngapi au ni tuzo tu isiyo na chochote ??????
 

mbona TFF walimpeleka mwakilishi wake? pia fursa hutumiwa na wenye kuihitaji
 
acheni zenu sioni ubaya kufanyiwa sherehe asingefanyiwa pia mngeponda...
 
Clouds wanawatumia binadamu kama furusa.Ni watu hatari sana
 
hata na wewe ukitaka nenda kamfanyie sherehe ushindi wa samatta sio wa ruge wala wa malinzi ni wa watanzania wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…