Samatta ni balaa

Samatta ni balaa

Patroman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2018
Posts
809
Reaction score
1,222
Wadau, kuna baadhi ya watu wanabeza uwezo wa samatta kuwa ni wa kawaida, nadhani hawamfatilii , jamaa kwa sasa yuko kwenye kiwango cha hali ya juu hata kucheza Epl, na ndio maana club yake wamempa mkataba mrefu ili waje wapige hela ndefu, jana katupia tena Genks 3 - gents 1.
 
Wadau, kuna baadhi ya watu wanabeza uwezo wa samatta kuwa ni wa kawaida, nadhani hawamfatilii , jamaa kwa sasa yuko kwenye kiwango cha hali ya juu hata kucheza Epl, na ndio maana club yake wamempa mkataba mrefu ili waje wapige hela ndefu, jana katupia tena Genks 3 - gents 1.
Genks ndio timu ya wapi
 
wabongo bwana badala ta kujadili mada husika wameamua kujadili hicho kivs kilichoongezeka mbele!!hivi tukisema mnaakili sawa na jiwe tutakuwa tumewatukana??
 
Genks ndio timu ya wapi
genks vs gents mh
1545887812849.png
 
Back
Top Bottom