Samatta ni balaa

Patroman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2018
Posts
809
Reaction score
1,222
Wadau, kuna baadhi ya watu wanabeza uwezo wa samatta kuwa ni wa kawaida, nadhani hawamfatilii , jamaa kwa sasa yuko kwenye kiwango cha hali ya juu hata kucheza Epl, na ndio maana club yake wamempa mkataba mrefu ili waje wapige hela ndefu, jana katupia tena Genks 3 - gents 1.
 
Genks ndio timu ya wapi
 
wabongo bwana badala ta kujadili mada husika wameamua kujadili hicho kivs kilichoongezeka mbele!!hivi tukisema mnaakili sawa na jiwe tutakuwa tumewatukana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…