nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
-
- #21
Hatupoi na wala hatuboiSama goal 2
Timu Samatta hatupoi!!
goal tamu san ila full back 2 wa genk yuko vizuri sanaHilo goli la kwanza sio mchezo.
Jamaa ni wazi anaonesha kua ni mchezaji wa kucheza mpira ulaya na ndipo aliko akiendelea na msimamo wake hvyo hvyo bas atafika zaid ya hpo.
Huyo jamaa kama sikosei ni left foot si ndio.goal tamu san ila full back 2 wa genk yuko vizuri sana
ni right foot- ndo kampa samatta assist 2 leo,au unamzungumzia leon bailey? yule alishaenda bayern leverkusen last yearHuyo jamaa kama sikosei ni left foot si ndio.
Hpna kuna jmaa mmoja anapiga mguu wa kushoto anakimbia sana nafkir ni midfield setpiece nyingi hupiga yeye.ni right foot- ndo kampa samatta assist 2 leo,au unamzungumzia leon bailey? yule alishaenda bayern leverkusen last year
ok nafikiri ni pozuelo au malivonsky,ila pozuelo ni kiungo mkali sanaHpna kuna jmaa mmoja anapiga mguu wa kushoto anakimbia sana nafkir ni midfield setpiece nyingi hupiga yeye.
Huyo jmaa wa ukrain ndio nnaemzungumzia ni mzur sana kiupi team yao imejichagua wako vzur.ok nafikiri ni pozuelo au malivonsky,ila pozuelo ni kiungo mkali sana
wanaongoza ligi ya ubelgiji pia na samatta ana goal 6 au 7 kwenye ligi ,europa 3 na fifa game mpya kapewa 77 yupo namba 6 katika walio high ranked kwenye game ya fifa ligi ya ubelgiji kwa mwendo huu game ya mwakani atapata hata 82Huyo jmaa wa ukrain ndio nnaemzungumzia ni mzur sana kiupi team yao imejichagua wako vzur.
Hatupoi na wala hatuboi
Umeshindwaje kuweka hiyo lineup Kama umeiona..wewe bwabwa kwwelini europa league genk vs bestikas samatta dhidi ya lile keeper bovu lilokuwa liverpool,line up ishatoka samatta kaanza kama kawa