Samatta wenu namuuza Lille

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,203
Reaction score
37,906
Headline inayoongoza MWANASPOTI la leo, alhamis 12 November, 2015
 
Yanga tumemuandalia $85,000 ya usajiri na mshahara wa $3,500.
Maongezi bado yanaendelea na tumefikia pazuri.
 
Si nilisikia anatimkia zake majimaji vipi mshahara waliomuandalia wa $ 48,000/= kwa wiki ni mdogo kwake ??
 
Si nilisikia anatimkia zake majimaji vipi mshahara waliomuandalia wa $ 48,000/= kwa wiki ni mdogo kwake ??

nimeachwa na kimada, nina machungu msinichekeshe jamani
 
inabidi amuuzie mkataba wake unafikia tamati na dogo kasema haongezi huyu jamaa alimfanya mputu asiende kucheza ulaya wakati akiwa na kiwango kizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…