doup JF-Expert Member Joined Feb 26, 2009 Posts 2,706 Reaction score 2,861 Nov 6, 2019 #2 Hizi ni juhudi za #mataga 🤣🤣🙈🤣
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Nov 6, 2019 #3 Samagoal..
Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,455 Reaction score 73,145 Nov 6, 2019 #4 Shukrani za pekee ziwaende CCM na mwenyekiti wao kwa kumuwezesha Samatta na timu yake kupata goli. "Hatunywi sumu hatujinyongi! CCM mbele kwa mbele! ¥€¶yeba ! ¥√π
Shukrani za pekee ziwaende CCM na mwenyekiti wao kwa kumuwezesha Samatta na timu yake kupata goli. "Hatunywi sumu hatujinyongi! CCM mbele kwa mbele! ¥€¶yeba ! ¥√π
Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,685 Reaction score 12,000 Nov 6, 2019 #6 Awamu ya tano Taifa stars imefuzu Kombe la Africa toka Nyerere aondoke madarakani Vijana wengi wanawika ulaya sababu ya sera nzuri za Magufuli kwenye michezo Hongera Magufuli,Tunakuombea afya njema uipeleke Tanzania katika uchumi wa kati
Awamu ya tano Taifa stars imefuzu Kombe la Africa toka Nyerere aondoke madarakani Vijana wengi wanawika ulaya sababu ya sera nzuri za Magufuli kwenye michezo Hongera Magufuli,Tunakuombea afya njema uipeleke Tanzania katika uchumi wa kati
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Nov 6, 2019 #7 Kajamaa kanaruka mpk huyo kaptein wa time pinzani anashangaa miguu badala ya mpira!! Hivi na kuruka huko ni juhudi za awamu ya tano..?😎🏃🏃
Kajamaa kanaruka mpk huyo kaptein wa time pinzani anashangaa miguu badala ya mpira!! Hivi na kuruka huko ni juhudi za awamu ya tano..?😎🏃🏃