Samattaaa Liverpool 1- Genk 1

Hizi ni juhudi za #mataga 🤣🤣🙈🤣
 
Shukrani za pekee ziwaende CCM na mwenyekiti wao kwa kumuwezesha Samatta na timu yake kupata goli.
"Hatunywi sumu hatujinyongi! CCM mbele kwa mbele! ¥€¶yeba ! ¥√π
 
Awamu ya tano Taifa stars imefuzu Kombe la Africa toka Nyerere aondoke madarakani

Vijana wengi wanawika ulaya sababu ya sera nzuri za Magufuli kwenye michezo

Hongera Magufuli,Tunakuombea afya njema uipeleke Tanzania katika uchumi wa kati
 
Kajamaa kanaruka mpk huyo kaptein wa time pinzani anashangaa miguu badala ya mpira!! Hivi na kuruka huko ni juhudi za awamu ya tano..?😎🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…